Kwa mujibu wa Kitengo cha tarjama cha Shirika la Habari la Hawza, Rais wa Iraq, Nizar Amidi, jana Ijumaa aliondoka Baghdad, mji mkuu wa Iraq, kuelekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ili kushiriki katika hafla ya mazishi na kuaga Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Habari ya Urais wa Iraq, Rais wa Iraq anatarajiwa, katika mfumo wa ziara hiyo, kukutana na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, pamoja na baadhi ya viongozi wengine wa Iran, kwa ajili ya kujadili na kubadilishana mawazo kuhusu uhusiano wa pande mbili kati ya nchi hizo mbili na mataifa mawili rafiki.
Maoni yako